26. Kisha atamwomba Mungu na kukubaliwa,atakuja mbele yake kwa furaha,na Mungu atamrudishia fahari yake.
27. Atashangilia mbele ya watu na kusema:‘Nilitenda dhambi na kupotosha haki,nami sikuadhibiwa kutokana na hayo.
28. Mungu aliniokoa nisiangamie Shimoni;nimebaki hai na ninaona mwanga.’
29. “Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote,tena mara mbili, mara tatu.
30. Humwokoa binadamu asiangamie Shimoni,aweze kuona mwanga wa maisha.