19. Moyo wangu umefurika kama divai iliyozibwa,kama kiriba cha divai mpya tayari kupasuka.
20. Ni lazima niseme ili nipate nafuu;yanipasa kufungua kinywa changu na kujibu.
21. Sitampendelea mtu yeyotewala kutumia maneno ya kubembeleza mtu.
22. Maana mimi sijui kubembeleza mtu,la sivyo, Muumba wangu angeniangamiza.