10. Sauti za waheshimiwa zilinyamazishwa,na vinywa vyao vikafumbwa.
11. Kila aliyesikia habari zangu alinitakia herina aliponiona, alikubali habari hizo kuwa kweli:
12. Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada,kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.
13. Waliokuwa karibu kuangamia walinitakia baraka,niliwafanya wajane waone tena furaha moyoni.
14. Uadilifu ulikuwa vazi langu;kutenda haki kulikuwa kama joho na kilemba changu.