1. Kisha Sofari, Mnaamathi, akajibu:
2. “Fikira zangu zanifanya nikujibu,wala siwezi kujizuia tena.
3. Nasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia,lakini akili yangu yanisukuma nijibu.
4. “Wewe labda umesahau jambo hili:Kwamba tangu zamani Mungu alipomuumba mtu duniani,