14. Mtu ni nini hata aweze kuwa mwadilifu?au yule aliyezaliwa na mwanamke hata aweze kuwa mwema?
15. Ikiwa Mungu hawaamini hata watakatifu wake,nazo mbingu si safi mbele yake,
16. sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovubinadamu atendaye uovu kama kunywa maji!