22. “Farasi walipita wakipiga shoti;,walikwenda shoti na kishindo cha kwato zao.
23. Malaika wa Mwenyezi-Mungu asema hivi:‘Uapizeni mji wa Merosi,waapizeni vikali wakazi wake;maana hawakuja kumsaidia Mwenyezi-Munguhawakumsaidia Mwenyezi-Mungu dhidi ya wenye nguvu’.
24. “Abarikiwe kuliko wanawake woteYaeli, mke wa Heberi, Mkeni.Naam, amebarikiwa kuliko wanawake wotewanaokaa mahemani.
25. Sisera alimwomba maji, naye akampa maziwa;alimletea siagi katika bakuli ya heshima.