17. Wanawake majirani walimwita mtoto huyo Obedi wakisema, “Mtoto amezaliwa kwa Naomi.” Hatimaye Obedi akamzaa Yese aliyemzaa Daudi.
18. Na hivi ndivyo vizazi vya Peresi: Peresi alimzaa Hesroni,
19. Hesroni akamzaa Rami, Rami akamzaa Aminadabu,
20. Aminadabu akamzaa Nahshoni, Nahshoni akamzaa Salmoni,
21. Salmoni akamzaa Boazi, Boazi akamzaa Obedi,
22. Obedi akamzaa Yese na Yese akamzaa Daudi.