9. Mpumbavu anayejaribu kutumia methali,ni kama mlevi anayejaribu kungoa mwiba mkononi.
10. Mtu amwajiriye mpumbavu au mlevi,ni kama mpiga upinde anayejeruhi kila mtu.
11. Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake,ni kama mbwa anayekula matapishi yake.
12. Wamwona mtu ajionaye kuwa mwenye hekima?Nakuambia mpumbavu ni nafuu kuliko huyo.
13. Mvivu husema: “Huko nje kuna simba;siwezi kwenda huko.”
14. Kama vile mlango uzungukiapo bawaba zake,ndivyo mvivu juu ya kitanda chake.