30. maadamu mlikataa shauri langu,mkayapuuza maonyo yangu yote;
31. basi, mtakula matunda ya mienendo yenu,mtavimbiwa kwa hila zenu wenyewe.
32. Maana wajinga hujiua kwa ukaidi wao,wapumbavu hujiangamiza kwa kujiamini kwao.
33. Lakini kila anisikilizaye atakaa salama,atatulia bila kuogopa mabaya.”