21. “Sikiliza ninavyopiga kite;hakuna wa kunifariji.Maadui zangu wote wamesikia juu ya taabu yangu:Wanafurahi kwamba umeniletea maafa.Uifanye ile siku uliyoahidi ifike,uwafanye nao wateseke kama mimi.
22. “Uwapatilize kwa ajili ya uovu wao wote.Uwatende kama ulivyonitenda mimikwa sababu ya makosa yangu yote.Nasononeka sana kwa maumivuna moyo wangu unazimia.”