12. Naam, yaja siku ya Mwenyezi-Mungu wa majeshidhidi ya wenye kiburi na majivuno,dhidi ya wote wanaojikweza;
13. dhidi ya mierezi yote ya Lebanoni,ambayo ni mirefu na mizuri,dhidi ya mialoni yote nchini Bashani;
14. dhidi ya milima yote mirefu,dhidi ya vilima vyote vya juu;
15. dhidi ya minara yote mirefu,dhidi ya kuta zote za ngome;