31. Watu wa Madmena wako mbioni,wakazi wa Gebimu wanakimbilia usalama.
32. Leo hii, adui atatua Nobu,atatikisa ngumi yake dhidi ya mlima Siyoni;naam, atautikisia ngumi mji wa Yerusalemu.
33. Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshiatakata matawi yake kwa ukatili;miti mirefu itaangushwa chini,walio juu wataaibishwa.
34. Atakata vichaka vya msituni kwa shoka,Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka.