30. wa mji wa Magbishi: 156;
31. wa mji wa Elamu wa pili: 1,254;
32. wa mji wa Harimu: 320;
33. wa mji wa Lodi, Hadidi na wa Ono: 725;
34. wa mji wa Yeriko: 345;
35. wa mji wa Senaa: 3,630.
36. Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 673;
37. wa ukoo wa Imeri: 1,052;
38. wa ukoo wa Pashuri: 1,247;