11. Nao makuhani walishindwa kuhudumu kwa sababu ya wingu hilo; kwa kuwa utukufu wa Mwenyezi-Mungu uliijaza nyumba ya Mwenyezi-Mungu.
12. Ndipo Solomoni akasema,“Mwenyezi-Mungu alisema kwamba,atakaa katika giza nene.
13. Hakika, nimekujengea nyumba ya kukaa,mahali pa makao yako ya milele.”
14. Kisha, Solomoni akaigeukia jumuiya yote ya Waisraeli wakiwa wamesimama, akawabariki,