24. Mmoja wa wana wa Uzieli alikuwa Mika. Mmoja wa wazawa wa Mika alikuwa Shamire.
25. Mmoja wa wazawa wa Ishia nduguye Mika alikuwa Zekaria.
26. Wana wa Merari: Mahli, Mushi na Yaazia;
27. wazawa wa Merari kwa mwanawe Yaazia: Shohamu, Zakuri na Ibri.
28. Wana wa Mahli: Eleazari ambaye hakupata mtoto,
29. Kishi ambaye alikuwa na mwana mmoja: Yerameeli.
30. Mushi alikuwa na wana watatu: Mahli, Ederi na Yeremothi. Wao ni wazawa wa Lawi kulingana na koo zao.