28. Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;
29. Sibekai Mhushathi; Ilai Mwahohi;
30. Maharai Mnetofathi; Heledi, mwana wa Baana Mnetofathi;
31. Itai, mwana wa Ribai, kutoka Gibea, wa kabila la Benyamini; Benaya Mpirathoni;
32. Hurai kutoka vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;
33. Azmawethi Mbaharumu; Eliaba Mshaalboni;
34. wana wa Yasheni Mgiloni; Yonathani, mwana wa Shagee Mharari,
35. Ahiamu, mwana wa Sakari Mharari; Elifali, mwana wa Uri;
36. Heferi Mmekerathi; Ahiya Mpeloni;
37. Hezro Mkarmeli; Naarai, mwana wa Ezbai;
38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;
39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;
40. Ira na Garebu, waliokuwa Waithri,