9. Lakini mkiwabagua watu, basi, mwatenda dhambi, nayo sheria inawahukumu nyinyi kuwa mna hatia.
10. Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.
11. Maana yuleyule aliyesema: “Usizini,” alisema pia “Usiue.” Kwa hiyo, hata ikiwa hukuzini, lakini umeua, wewe umeivunja sheria.
12. Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.