13. Kama mtu akijaribiwa, asiseme: “Ninajaribiwa na Mungu.” Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
14. Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
15. Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.
16. Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike!