42. Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.”
43. Yesu akamjibu, “Nakuambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
44. Ilikuwa yapata saa sita mchana; jua likaacha kuangaza, giza likaifunika nchi yote mpaka saa tisa,